Mionekano ya Mastaa wa kibongo kabla na baada ya Kujichubua..!!
Ukizungumzia mambo yetu yale kwa watoto wa kike basi ni wazi
utakua unazungumzia swala zima la urembo. Kuna tafsiri nyingi za
msichana mrembo lakini kwa hawa dada zetu wa kike waliamua kuongeza
urembo wao kwa kuweka mkorogo “bleaching” , full u-michael jackson

Hizi ni baadhi za picha zinavyoonyesha wasanii hawa wa kike walivyokua mwanzo na walivyo sasa ;-
Penniel Mungilwa ‘DJ Penny’
Jackline Wolper
Wema Sepetu
Shilole
Ray C
Ruth Suka ‘Mainda‘
Je , Unadhani nani kajichubua sana kupita wenzake?
0 comments:
Post a Comment